NI siku 162 za Paul Makonda kushika nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambazo alizitumia kufanya ziara kwenye mikoa mbalimbali nchini, kutoa matamko mazito na ...
MKUU wa mkoa wa Tabora, Paul Chacha, ameipongeza timu ya Tabora United kwa kuendelea kufanya vyema kwenye michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara, huku akiiahidi kuizawadia Sh. Milioni 200 iwapo itamaliza ...
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Ubunifu wa Afrika Kusini, Dk Bonginkosi Nzimande amesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa teknolojia ya anga kati ya Tanzania na Afrika Kusini. Dk Mzimande ...
Kikosi cha Taifa Stars, kinachotarajiwa kuvaana na Niger kwenye mechi ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026, itakayopigwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar leo saa 10:00 alasiri. WAKATI Taifa ...
Zanzibar imefungua ukurasa mpya katika historia ya usafiri wa umma baada ya kuzindua rasmi huduma ya mabasi yanayotumia nishati ya umeme, hatua inayotarajiwa kubadilisha sura ya usafiri visiwani humo ...
Wilaya ya Rufiji kupitia Halmashauri, na taasisi nyingine za Serikali inaendelea na utekelezaji wa shughuli za maendeleo kama zilivyoelekezwa katika Ilani ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ya Chama cha ...
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kaskazini limesema limefanisha miradi yote mikubwa kama barabara, viwanda na migodi kuwa na cheti cha Tathmini ya Athari kwa ...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametoa wito kwa viongozi na wadau wa maendeleo mkoani humo kupambana na vitendo vya rushwa, akisisitiza kuwa tabia hiyo ni kikwazo kikubwa ...
Serikali imepiga marufuku matumizi ya dola za Marekani na sarafu nyingine za kigeni katika kunukuu bei, kuuza na kununua bidhaa ndani ya Tanzania, ikisisitiza kuwa Shilingi ya Tanzania ndiyo sarafu ...
MJADALA mzito umeibuka katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, baada ya upande wa utetezi wa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kuibua hoja ya makosa ...
Results that may be inaccessible to you are currently showing.
Hide inaccessible results